TRA

TRA

Tuesday, April 25, 2017

AZAM FC HAWA HAPA WAKIJIFUA TAYARI KWA MNYAMA SIMBA, JUMAMOSI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Kikosi cha Azam FC kimeendelea na mazoezi yake kama kawaida ikiwa ni pamoja na kujiandaa na Simba.

Azam FC itaivaa Simba katika mechi ya kwanza ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho, mechi itakayopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Jumamosi.


Mazoezi ya Azam FC yamekuwa yakiendelea kwenye Uwanja wa Azam Complex na wachezaji wakionekana wako tayari kwa kazi dhidi ya Simba, mechi inayotarajiwa kuwa ngumu na ya kusisimua.



 




Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger