TRA

TRA

Tuesday, April 25, 2017

Barabara za rami kukuza sekta ya utalii Mara

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Mkuu wa Mkoa wa Mara Dkt Charles  Mlingwa  akiongea na waandishi  wa habari baada ya kukagua ujenzi wa barabara ya Makutanto Juu- Sanzate hivi karibuni



Mlingwa akiongea na Waandishi wa Habari


Mkuu wa Mkoa wa Mara Dkt Charles Mlingwa  hivi karibuni amekagua miradi mikubwa ya kitaifa ya barabara ukiwemo  ujenzi wa barabara ya Makutano Juu- Sanzate ambayo inajengwa kwa kiwango cha rami na kusema kukamilika kwa barabara  ni muhimu kwa maendeleo ya  sekta ya utalii katika Mkoa wa Mara.Mbali kurahisisha usafiri kwa wakazi wa Wilaya za Butiama, Serengeti na Bunda , barabara hiyo itaunganisha Hifadhi ya Taifa ya Serengeti na Ziwa Victoria na hivyo kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea Mkoa wa Mara. 

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger