![]() |
Mjumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Maadhimisho ya Muungano Bw.Yusto Chuma akionesha michoro ya muonekano wa uwanja wa Jamhuri kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe.Jenista Mhagama wakati wa maandalizi ya Maadhimisho ya Miaka 53 ya Muungano yanayoendelea Dodoma Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe.January Makamba. |

Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu)
Mhe. Jenista Mhagama akisalimiana na Mkurugenzi wa Kitengo cha
Maadhimisho Bi.Flora Mazeleng’we alipotembelea uwanja wa Jamhuri Dodoma
ili kuangalia maandalizi ya maadhimisho ya Sherehe za Miaka 53 ya
Muungano. Aprili 21, 2017.

Mkuu
wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Jordan Rugimbana akizungumza wakati wa maandalizi
ya Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 53 ya Muungano katika viwanja vya
Jamhuri Dodoma Aprili 21, 2017.

Baadhi
ya Wajumbe wa Kamati ya maandalizi ya Maadhimisho ya Sherehe za miaka
53 ya Muungano wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa (hayupo pichani) wakati wa
maandalizi ya sherehe hizo Aprili 21, 2017 Dodoma.

Mjumbe
wa Kamati ya Maandalizi ya Maadhimisho ya Muungano Bw.Yusto Chuma
akionesha michoro ya muonekano wa uwanja wa Jamhuri kwa Waziri wa Nchi
Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe.Jenista Mhagama wakati wa maandalizi ya
Maadhimisho ya Miaka 53 ya Muungano yanayoendelea Dodoma Katikati ni
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)
Mhe.January Makamba.

Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu)
Mhe. Jenista Mhagama akieleza jambo wakati wa ziara ya kukagua
maandalizi ya sherehe za Muungano katika viwanja vya Jamhuri Dodoma wa
kwanza kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na
Mazingira) Mhe.January Makamba na kulia Mkuu wa Mkoa wa Dodoma
Mhe.Jordan Rugimbana.

Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu)
Mhe. Jenista Mhagama akitoa maelekezo ya kuboresha maeneo kadhaa katika
Uwanja wa Jamhuri wakati wa maandalizi ya Shereha za Maadhimisho ya
miaka 53 ya Muungano Dodoma.

Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu)
Mhe. Jenista Mhagama akiongea jambo wakati alipotembelea Viwanja vya
Jamhuri Dodoma ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Sherehe za Maadhimisho
ya Miaka 53 ya Muungano.

Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Watu wenye Ulemavu)
Mhe. Jenista Mhagama akiongea jambo wakati alipotembelea Viwanja vya
Jamhuri Dodoma ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Sherehe za Maadhimisho
ya Miaka 53 ya Muungano.(PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU-DODOMA)
SHARE
No comments:
Post a Comment