• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Tuesday, May 9, 2017

Home > > Kiir amfukuza mkuu wa majeshi

Kiir amfukuza mkuu wa majeshi

at 11:29 PM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Rais Salva Kiir wa Sudan kusini amemfukuza kazi mkuu wa Jeshi la nchi hiyo Jenerali Paul Malong.

Hakuna sababu yoyote iliyotajwa katika vyombo vya habari vya serikali, lakini katika siku za hivi karibuni maafisa wengi wa ngazi za juu wamekuwa wakijiuzulu na pia wengine kutoka serikali ya Sudan Kusini.

Mwandishi wa BBC anasema Jenerali Malong anaonekana na Wasudan wengi kama mtu mwenye nguvu, na wanasubiri kuona atakavyopokea kuondolewa katika nafasi hiyo.


                          Rais Salva Kiir 

Wengi wamekuwa na wasiwasi kuhusiana na upendeleo wa kikabila na uhalifu wa kivita katika vita vya wenyewe kwa wenyewe ambayo yameiingiza Sudan kusini katika mgogoro uliodumu kwa miaka minne sasa.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • MBUNGE MATIKO LAZIMA NIBORESHA MIUNDO MBINU YA ELIMU JIMBO LANGU.
    Peter Magwi katibu wa Mbunge Jimbo la Tarime Mjini, Esther Matiko akikabidhi Mifuko ya Saruji Diwani wa Kata ya Turwa Zakayo Chacha Wangw...
  • Hivi tunahitaji vyeti au utendaji serikalini?
      Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na  Utawala bora, Anjela Kairuki Said Mwishehe KWA Ujinga Wangu nimekaaa na kujikuta naw...
  • Watanzania wahimizwa kujiunga na mtandao wa mitaji
    Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Prof. Faustine Kamuzora amewataka wafanyabiashara nchini kuhamasika kujiunga na mtandao wa ...

Popular Posts

  •  MBUNGE MATIKO LAZIMA NIBORESHA MIUNDO MBINU YA ELIMU JIMBO LANGU.
    MBUNGE MATIKO LAZIMA NIBORESHA MIUNDO MBINU YA ELIMU JIMBO LANGU.
    Peter Magwi katibu wa Mbunge Jimbo la Tarime Mjini, Esther Matiko akikabidhi Mifuko ya Saruji Diwani wa Kata ya Turwa Zakayo Chacha Wangw...
  • Hivi tunahitaji vyeti au utendaji serikalini?
    Hivi tunahitaji vyeti au utendaji serikalini?
      Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na  Utawala bora, Anjela Kairuki Said Mwishehe KWA Ujinga Wangu nimekaaa na kujikuta naw...
  • Watanzania wahimizwa kujiunga na mtandao wa mitaji
    Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Prof. Faustine Kamuzora amewataka wafanyabiashara nchini kuhamasika kujiunga na mtandao wa ...
  • ARUSHA WAZINDUA SIKU YA USALAMA BARABARANI ,TWAKIMU ZAONYESHA KILA MWAKA AJALI ZA PIKIPIKI ZINAONGEZEKA
    ARUSHA WAZINDUA SIKU YA USALAMA BARABARANI ,TWAKIMU ZAONYESHA KILA MWAKA AJALI ZA PIKIPIKI ZINAONGEZEKA
    Habari Picha na Woinde Shizza,Arusha Ajali za pikipiki kwa mkoa wa Arusha zimeongezeka mwaka hadi mwaka ambapo mpaka kufikia mwaka...
  • Mgogoro wa CUF  kwa faida ya nani?
    Mgogoro wa CUF kwa faida ya nani?
    Julian Msacky SWALI linaloulizwa sasa na wafuatiliaji wa siasa za Tanzania kwa sasa ni je, nani ananufaika na mgogoro wa CUF? Hil...
  • TAARIFA KWA UMMA JUU YA HUJUMA ZINAZOFANYWA KWA WAKULIMA WA ZAO LA KOROSHO NCHINI
    TAARIFA KWA UMMA JUU YA HUJUMA ZINAZOFANYWA KWA WAKULIMA WA ZAO LA KOROSHO NCHINI
      Chama cha ACT Wazalendo kinasikitishwa na mwenendo mbovu wa usimamizi wa zoez...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger