TRA

TRA

Thursday, May 18, 2017

Kiongozi wa upinzani Venezuela apokonywa hati ya kusafiria

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Venezuela Henrique Capriles amesema alipokonywa hati yake ya kusafiria uwanja wa ndege alipokuwa akijiandaa kwenda New York.

Alipanga kukutana na viongozi wakuu wa UN kujadili mgogoro wa kisiasa na uchumi unaoikumba nchi yake.




 Capriles pia anahudumu kama gavana wa jimbo la Miranda

Capriles amekuwa muhimili wa kuchochea maandamano yanayoendelea nchini Venezuela.

Miezi miwili iliyopita alifungiwa kushiriki kwenye siasa kwa miaka 15 kwa tuhuma za kuleta uchochezi.

Katibu mkuu wa jumuiya ya nchi za Amerika Luis Almagro amesema kitendo hicho ni ukiukwaji wa haki za binaadamu.

CHANZO; BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger