TRA

TRA

Saturday, May 27, 2017

LAPF YAWAPIGA MSASA WAHARIRI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, James Mlowe, akizungumza katika semina kwa wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam leo.
Katibu wa Jukwaa la Wahariri Neville Meena, akizungumza katika semina hiyo.
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, James Mlowe, akifafanua jambo.
  Baadhi ya wahariri wakiwa katika semina hiyo.
  Baadhi ya wahariri wakiwa katika semina hiyo. 
 Meneja Mafao wa LAPF, Ramadhan Mkeyenge, akitoa mada katika semina hiyo.
Meneja Mafao wa LAPF, Ramadhan Mkeyenge, akitoa mada katika semina hiyo. 
 Ofisa Mwandamizi Mipango na Uwekezaji, Eliya Shola, akitoa mada katika semina hiyo.
 Ofisa Mwandamizi Mipango na Uwekezaji, Eliya Shola, akitoa mada katika semina hiyo. 
 Baadhi ya wahariri wakifuatilia kwa makini semina hiyo.
Semina ikiendelea. 
 Ofisa Mwandamizi Mipango na Uwekezaji, Eliya Shola, akitoa mada katika semina hiyo. 
 Ofisa Mwandamizi Mipango na Uwekezaji, Eliya Shola, akitoa mada katika semina hiyo. 
 Abdalah Majura akiuliza swali.
Ofisa Habari wa Mfuko wa LAPF, Rehema Mkamba (kusho), akiwa na baadhi ya wahariri kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakiwa semian hiyo.
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa LAPF, James Mlowe, akijibu maswali ya washiriki wa semina hiyo. Kushoto ni  Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Theophil Makunga.
Meneja Mafao wa LAPF, Ramadhan Mkeyenge, akijibu baadhi ya maswali.
Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006), Absalom Kibanda, akiuliza kuhusu namna Mfuko wa LAPF ulivyochukua taadhari katika uanzishwaji wa viwanda.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger