TRA

TRA

Friday, May 26, 2017

PROFESA KABUDI AIWAKILISHA SERIKALI KUSAINI MKATABA WA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA MJIJI KAMPALA, UGANDA.

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Mkataba wa mradi wa Bomba la Mafuta kati ya Serikali ya Tanzania na Uganda (Intergovernmental Agreement- IGA) umesainiwa leo tarehe 26 Mei 2017 katika Hotel ya Serena Jijini Kampala, Uganda. Tanzania imewakilishwa na Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Paramagamba Kabudi na Uganda ni Waziri wa Nishati wa nchi hiyo Engineer  Irene Nafuna Muloni.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger