Meneja
Mkuu Idara ya Masoko kiwanda cha saruji cha Rhino Tanga, William
Malonza, akimuonyesha moja ya bidhaa zizalishwazo na kiwanda hicho,
Waziri wa Viwanda na Biashara, Chales Mwijage, wakati wa maonyesho ya
tano ya Kimataifa ya biashara yanayofanyika katika viwanja vya Mwahako
Tanga. Mwijage ameyafungua maonyesho hayo leo katika viwanja ya
maonyesho Mwahako ambayo yamezishirikisha mataifa mbalimbali ya Barani
Afrika na Asia.
Waziri wa
Viwanda na Biashara, Chales Mwijage, akisalimiana na Afisa Masoko
kiwanda cha saruji cha Rhino Tanga, Carolina Hillary wakati
alipotembelea banda la maonyesho ya tano ya Kimataifa yalifunguliwa jana
Tanga katika viwanja vya maonyesho Mwahako.
SHARE








No comments:
Post a Comment