Watafiti nchini Uingereza wanasema majaribio ya awali ya dawa ya kukabiliana na saratani ya ovari yameonyesha matumaini makubwa.
Dawa hiyo inashambulia seli mbaya pekee.
Saratani ya ovari inaweza kuwa ngumu kutibu
Saratani ya ovari huwa si rahisi kutibu, na japo wanasayansi wanasema dawa hiyo sio tiba halisi, itasaidia pakubwa kurefusha maisha ya wagonjwa.
- Tanzania kuchunguza saratani ya kizazi kwa simu
- Madaktari wa Afrika Mashariki kupata ujuzi wa saratani Uingereza
- Babu atafuta klabu mpya ya kuchezea
Marianne alipata matibabu kwa muda wa miezi sita, na dawa hiyo ikapunguza uvimbe wote kati mwili wake na kuondoa maumivu yote aliyokuwa akihisi.
CHANZO: BBC
SHARE









No comments:
Post a Comment