TRA

TRA

Thursday, June 29, 2017

Kama kawaida yao, Azania Bank tayari wapo Sabasaba kushiriki Maonesho ya Tantrade

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 
az1
Mtaalam wa Mikopo ya Nyumba (Mortigage Specialist) kutoka Benki ya Azania, Liberia Peter akitoa maelezo kwa Allan Rukantabula kutoka kampuni ya Brighter Monday Tanzania aliyetembelea katika banda hilo kwenye maonyesho ya 41 ya TANTRADE yanayoendelea kwenye viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kirwa jijini Dar es Salaam.
az2
Mtaalam wa Mikopo ya Nyumba (Mortigage Specialist) kutoka Benki ya Azania,  Liberia Peter na Allan Rukantabula kutoka kampuni ya Brighter Monday Tanzania wakifurahia jambo wakati mteja huyo  alipotembelea katika banda la benki hiyo kwenye maonyesho ya 41 ya TANTRADE yanayoendelea kwenye viwanja vya Sabasaba Barabara ya Kirwa jijini Dar es salaam.
az3
Othman katikati , Victor kushoto na Liberia wafanyakazi wa Benki ya Azania wakiwa katika banda lao kwenye maonyesho ya 41 ya TANTRADE yanayoendelea kwenye viwanja vya maonyesho vya Sabasaba Baraara ya Kirwa jijini Dar es salaam.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger