Mwenyekiti wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe. Mussa Azzan Zungu akiongoza Kikao cha 47 cha Mkutano wa saba wa Bunge la
11 leo June 14, 2017 Mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe.
Suleimani Jafo akijibu maswali mbalimbali katika Kikao cha 47 cha Mkutano wa
Saba wa Bunge la 11 leo June 14, 2017 Mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Kilimo Mifugo na Uvuvi Mhe. William
Ole Nasha akijibu maswali mbalimbali katika Kikao cha 47 cha Mkutano wa Saba wa
Bunge la 11 leo June 14, 2017 Mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Mhe. Angelina Mabula akijibu maswali mbalimbali katika Kikao cha 47 cha Mkutano
wa Saba wa Bunge la 11 leo June 14, 2017 Mjini Dodoma.
Naibu
Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Dkt Medred Kalemani akijibu maswali mbalimbali
katika Kikao cha 47 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo June 14, 2017 Mjini
Dodoma
Mbunge wa Ileje (CCM) Mhe. Janeth Mbene akiuliza swali
katika Kikao cha 47 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo June 14, 2017 Mjini
Dodoma.
Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Mhe. Mwantumu Haji akiuliza
swali katika Kikao cha 47 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo June 14, 2017
Mjini Dodoma.
|
Mbunge wa Kyerwa (CCM) Mhe. Innocent Bilakwate akiuliza
swali katika Kikao cha 47 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo June 14, 2017
Mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt Ashatu
Kijaji akijibu swali katika Kikao cha 47 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo
June 14, 2017 Mjini Dodoma.
Mbunge Madaba (CCM) Mhe. Joseph Mhagama akiuliza swali
i katika Kikao cha 47 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo June 14, 2017
Mjini Dodoma.
Mbunge wa Tunduru Kusini (CCM) Mhe. Daimu Mpakate
akiuliza swali katika Kikao cha 47 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo June
14, 2017 Mjini Dodoma.
Mbunge Viti Maalum (CCM) Mhe. Angelina Malembeka
akiuliza swali katika Kikao cha 47 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo
June 14, 2017 Mjini Dodoma.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Mwigulu Nchemba
akijadiliana jambo na Mbunge wa Buyungu Mhe.Kasuku Bilago katika Kikao cha 47
cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo June 14, 2017 Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Kassim Majaliwa akisalimiana na baadhi ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania wakati akiwasili Bungeni kuhudhulia Kikao cha 47 cha
Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo June 14, 2017 Mjini Dodoma.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Kassim Majaliwa akijadiliana jambo na Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Prof
Jumanne Maghembe katika Kikao cha 47 cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11
leo June 14, 2017 Mjini Dodoma.
Baadhi ya
wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakifuatilia Kikao cha 47
cha Mkutano wa Saba wa Bunge la 11 leo June 14, 2017 Mjini Dodoma. (PICHA ZOTE NA RAYMOND MUSHUMBUSI MAELEZO).
SHARE
No comments:
Post a Comment