• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Wednesday, June 14, 2017

Home > > Ligi kuu England kuanza Agosti 12

Ligi kuu England kuanza Agosti 12

at 11:26 PM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


    Ratiba ya msimu mpya wa Ligi kuu ya soka ya England ( EPL) 2017/18 imewekwa hadharani ikitarajiwa kuanza kutimua vumbi mwezi Agosti 12 mwaka huu na kumalizika Mei 13 2018.

    Ligi hiyo itaanza na kutanguliwa na mechi ya ngao ya jamii kati ya mabingwa Chelsea na Arsenal ambao ni mabigwa wa kikombe cha FA kwa mchezo ambao utapigwa dimba la Wembley Jijini London.

    Soka ya England ( EPL)

    Michezo ambayo itaanza katika msimu huo mpya Jumamosi Agost 12 ,2017 Arsenal watakuwa ni wenyeji wa Leceister city , Brighton watawakaribisha Manchester city, Chelsea watakuwa nyumbani dhidi ya Burnley, Crystal Palace watakipiga na Hudders-shifileld , Everton watawaalika Stoke City, Manchester United watachuana na West Ham United, New Castle United watawakaribisha Tottenham,ambapo pia Southampton watakuwa nyumbani dhidi ya Swansea City na Watford watawaalika Liverpool.
    Unknown

    Author: Unknown

    SHARE
    • Share
    • Tweet
    • Share
    • Pin
    • Share
    «
    Next
    Newer Post
    »
    Previous
    Older Post
    Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

    No comments:

    Post a Comment

    Newer Post Older Post Home
    Subscribe to: Post Comments (Atom)

    Tupate kupitia Facebook

    Popular Posts

    • Tatizo lenu Serikali mlitanguliza vyeti
      Said Mwishehe JAMANI leo naomba niseme mapema kuwa tatizo la Serikali kwa watumishi wa umma ilitanguliza zaidi vyeti ili kutoa ajira badala ...
    • Dalili tano za wanawake wanaochepuka |
      ...
    • Korea Kaskazini waanza kazi
      Jeshi la Marekani limesema mfumo wake wa Thaad wa kutoa kinga dhidi ya makombora umeanza kufanya kazi nchini Korea Kusini. Msemaji wa jes...

    Popular Posts

    • Tatizo lenu Serikali mlitanguliza vyeti
      Tatizo lenu Serikali mlitanguliza vyeti
      Said Mwishehe JAMANI leo naomba niseme mapema kuwa tatizo la Serikali kwa watumishi wa umma ilitanguliza zaidi vyeti ili kutoa ajira badala ...
    • Dalili tano za wanawake wanaochepuka |
      ...
    • Korea Kaskazini waanza kazi
      Korea Kaskazini waanza kazi
      Jeshi la Marekani limesema mfumo wake wa Thaad wa kutoa kinga dhidi ya makombora umeanza kufanya kazi nchini Korea Kusini. Msemaji wa jes...
    • WADAU WA JOTOARDHI WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
      WADAU WA JOTOARDHI WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
      Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Juliana Pallangyo akifungua warsha ya siku moja ya wadau wa Jotoardhi uliofan...
    •   MAMBO 15 USIYOFAHAMU YA KUSHANGAZA KUHUSU MBWA MWITU
      MAMBO 15 USIYOFAHAMU YA KUSHANGAZA KUHUSU MBWA MWITU
      1. Maisha yao ni mpela mpela, hakunaga muda wa kupumzika muda wa kazi kila kitu ni mchaka mchaka tuu, wanaharaka pasina mfano. 2. Wan...
    • Ulaya inapaswa kuchukua njia yake
      Kansela wa Ujerumani Angela Merkel amezitaka nchi za Ulaya kusimamia yenyewe mustakabali wake, akisema wakati wa kuwategemea washirik...

    Pages

    • Home
    • About Us
    • Contat Us
     
    Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
    Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger