Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akipeana mikono na Mwenyekiti wa Barrick Gold Corporation ya Canada, Profesa John L. Thornton mara baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar
es salaam leo Juni 14, 2017. Kulia ni balozi wa Canada nchini Mhe. Ian
Myles
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimsindikiza Mwenyekiti wa Barrick Gold Corporation ya Canada
Profesa John L. Thornton baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es
salaam leo Juni 14, 2017. Kushoto ni Waziri wa Sheria na Katiba Profesa
Palamagamba kabudi
Mwenyekiti wa Barrick Gold Corporation ya Canada Profesa John
L. Thornton akiongea na wanahabari baada ya mazungumzo na rais Dkt
Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 14, 2017. Kushoto ni Waziri
wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akiongea na wanahabari baada ya mazungumzo yake na Mwenyekiti
wa Barrick Gold Corporation ya Canada (kushoto) Ikulu jijini Dar es
salaam leo Juni 14, 2017. Kulia ni Balozi wa Canada nchini Mhe. Ian
Myles na Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akipeana mikono na Balozi wa Canada nchini Mhe Ian wakiwa na
Mwenyekiti wa Barrick Gold Corporation ya Canada Profesa John L.
Thornton baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 14,
2017. Kushoto ni Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba kabudi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe akiwa na
Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba kabudi baada ya
mazungumzo na Mwenyekiti wa Barrick Gold Corporation ya Canada Profesa
John L. Thornton Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 14, 2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiongea na Mwenyekiti wa Barrick Gold Corporation ya Canada Profesa
John L. Thornton baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es salaam leo
Juni 14, 2017. wakiwa na Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba
Kabudi na Balozi wa Canada nchini Mhe. Ian Myles
Balozi wa Canada nchini Mhe. Ian Myles akiongea na wanahabari
baada ya mazungumzo baina ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli na Mwenyekiti wa Barrick Gold Corporation ya
Canada Profesa John L. Thornton Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 14,
2017.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiongea na Mwenyekiti wa Barrick Gold Corporation ya Canada Profesa
John L. Thornton baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es salaam leo
Juni 14, 2017. Pamoja nao ni Balozi wa Canada nchini Mhe. Ian Myles na
Waziri wa Sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi
PICHA ZOTE NA IKULU
SHARE
No comments:
Post a Comment