Mamlaka nchini
Uhispania zitamfungulia mashtaka nyota wa Real Madrid, Cristiano
Ronaldo, akishutumiwa kwa kukwepa kulipa kodi kiasi cha doa za
kimarekani milioni 16.5.
Mwezi Desemba, nyaraka zilizovuja zilieleza kuwa Cristiano Ronaldo amekwepa kodi kutokana na kipato chake kuwekwa kuwekwa kwenye akaunti za nje ya Hispania.
Ronaldo amekana shutuma hizo. Na msemaji wa wakala wa mchezaji huyo alisema mwezi uliopita kuwa mchezaji huyo hakuwa na chochote cha kuficha
SHARE
No comments:
Post a Comment