Shirikisho la soka
barani Ulaya (UEFA) limetangaza kuanza kutolewa kwa tuzo tano mpya za
wachezaji bora wa mwaka kuanzia Agosti hii ambazo washindi wake
watapatikana toka kura za makocha na wanahabari.
Tuzo hizo 5 mpya ni kwa wachezaji waliofanya vyema kwenye mashindano ya klabu ya UEFA kwa msimu uliopita, kwa mwaka 2016/17,na zitatolewa sambamba na za mchezaji bora wa mwaka kwa wanaume na na wanawake.
CHANZO: BBC
SHARE
No comments:
Post a Comment