Kaimu Katibu Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM, Daniel Zenda aliyesimama kushoto
akizungumza na Wanachama na Viongozi Makada wa CCM Idara ya
Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam jana.
akizungumza na Wanachama na Viongozi Makada wa CCM Idara ya
Vyuo na Vyuo Vikuu UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam jana.
Kaimu
Katibu Idara ya Oganaizesheni na Uhusiano wa Kimataifa UVCCM,
Mohamed Suleiman akizungumza na Viongozi Makada wa CCM idara ya Vyuo na
Vyuo Vikuu Uvccm Mkoa wa Dar es Salaam .
Viongozi vyuo na vyuo vikuu wa mkoa wa dar es salaam wakimsikiliza Kaimu Katibu Mkuu UVCCM, Shaka Hamdu Shaka
Kiongozi
wa idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu Tawi la Chuo kikuu Cha Dar es Salaam
(UDSM ) ndg:Daud Ngasa akizungumzia mambo mbali mbali yahusuyo tawi lake
kwa ndg Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Shaka Hamdu Shaka jana alipokutana
na viogozi na wanachama Mkoa wa Dar es Saaalam
Meza kuu ikisikiliza
Kaimu
katibu Mkuu uvccm Shaka Hamdu Shaka aliyesimama kulia akizungumza na
Viongozi vyuo na vyuo vikuu wa Mkoa wa Dar es salaam jana katika ukumbi
wa Uvccm Makao Makuu Upanga Dar es salaam.
Kaimu Katibu Mkuu Uvccm Shaka Hamdu Shaka akiagana na Viongozi wa UVCCM Idara ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Dar es Salaam.
PICHA ZOTE NA FAHADI SIRAJI
SHARE








No comments:
Post a Comment