TRA

TRA

Thursday, June 22, 2017

Stars yaenda Afrika kusini kushiriki michuano ya Cosafa

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 Magolikipa wa timu taifa ya Tanzania Aishi Manula (Kushoto) na Benno Kakolanya
 
Kikosi cha wachezaji 22 wa timu ya Tanzania 'Taifa Stars', kimeondoka kuelekea nchini Afrika Kusini kushiriki michuano Kombe la Castle Cosafa.

Taifa Stars wao wamepangwa katika kundi A na wapinzania wao katika kundi hilo ni timu za Mauritius, Malawi na Angola. 

Katika kundi B kuna timu za Msumbiji, Shelisheli, Madagascar pamoja na Zimbabwe, michuano hiyo itaanza kutimua vumbu kuanzia Juni 25.

Mwenyeji Afrika ya kusini,Botswana, Zambia, Namibia, Lesotho na Swaziland watacheza michezo maalumu za mchujo (play off) kuwania kuingia robo fainali.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger