TRA

TRA

Tuesday, June 13, 2017

Brazil yaisamabaratisha Australia bao 4-0

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 Brazil wakiwa ni wageni wamewatandika wenyeji Australia bao 4-0

Mechi za kirafiki za kimataifa kwa kalenda ya shirikisho la kandanda Ulimwenguni (Fifa) zimepigwa usiku wa kuamkia leo kwa Michezo kadhaa.

Nchini Australia ,Brazil wakiwa ni wageni wamewatandika wenyeji Australia bao 4-0 mbele ya Mashabiki wao lukuki.

Brazil wakicheza bila ya Nyota wao Neymar waliandika bao la kwanza kupitia Diego Souza na walifanikiwa kupachika Bao la Pili dakika ya 62 kupitia Thiago Silva na dakika ya 75 Taison akapachika bao la 3 na kisha Diego Souza kufunga ukurasa wa magoli kwa kuandika bao la nne dk 93 kipindi cha pili.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger