Mamilioni ya watu leo watapiga kura kwenye uchaguzi mkuu nchini Uingereza.
Jumla ya wabunge 650 watachaguliwa huku takriban watu milioni 46.9 wakiwa wamejiandikisa kupiga kura.
Kituo cha kupiga kura
Mamilioni ya watu leo watapiga kura kwenye uchaguzi mkuu nchini Uingereza.
Shughuli
za upiganji kura zitaaza mwendo wa saa moja asubuhii saa za Uingereza,
wakati zaidi ya vituo 40,000 vitafunguliwa kote nchini.Jumla ya wabunge 650 watachaguliwa huku takriban watu milioni 46.9 wakiwa wamejiandikisa kupiga kura.
Ni ongezekao kutoka uchaguzi wa mwaka 2015 wakati wapiga kura milioni 46.4 walikuwa wamejiandikisha.
- Bunge Uingereza launga mkono uchaguzi wa mapema
- Uingereza yaanza rasmi kujiondoa EU
- Shirika la ujasusi Uingereza lakana kumdukua Trump
- Bi.May ataka utulivu wa kisiasa Uingereza
Vituo vingi vya kupigia kura vinafanyikia shueleni na katika vituo vya huduma za kijamii.
Matokeo ya viti kadha yanatarajiwa kutangazwa ifikapo usiku wa manane, huku matokeo ya mwisho yakitarajiwa kutangazwa Ijumaa mchana.
Ni ongezekao kutoka uchaguzi wa mwaka 2015 wakati wapiga kura milioni 46.4 walikuwa wamejiandikisha.
- Bunge Uingereza launga mkono uchaguzi wa mapema
- Uingereza yaanza rasmi kujiondoa EU
- Shirika la ujasusi Uingereza lakana kumdukua Trump
- Bi.May ataka utulivu wa kisiasa Uingereza
Vituo vingi vya kupigia kura vinafanyikia shueleni na katika vituo vya huduma za kijamii.
Matokeo ya viti kadha yanatarajiwa kutangazwa ifikapo usiku wa manane, huku matokeo ya mwisho yakitarajiwa kutangazwa Ijumaa mchana.
SHARE
No comments:
Post a Comment