TRA

TRA

Friday, June 16, 2017

WARSHA YA KARIKACHA & VIBONZO YAMALIZIKA, YAFUNGWA NA BALOZI ARTHUR MATTLI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Picha ya pamoja mgeni rasmi, afisa ubalozi na washiriki  wa  mafunzo ya kujenga uwezo wa uchoraji katuni yaliyoendeshwa na asasi ya Nathan Mpangala Foundation (NMF) na kufadhiliwa na Ubalozi wa Uswisi nchini

Mchora vibonzo Musa Ngarango aka “Masikio Mchongoko”, akilamba ganda lake.
Mchora vibonzo chipukizi, Brenda Kibakaya alidhihirisha kuwa uchoraji vibonzo si kwa wanaume tu.
Magret Liwembe akimkabidhi zawadi mgeni rasmi (karikacha cha mke wa balozi iliyonakshiwa kwa saini za washiriki) kwa niaba ya washiriki wenzake.
Mchora vibonzo Simon Regis akitoa neno la shukrani kabla ya kukabidhiwa vyeti.
Baadhi ya karikacha zilizochorwa wakati wa mafunzo hayo.
Mwezeshaji na mwenyekiti wa NMF akiwa na washiriki wakati wa mafunzo hayo kabla ya mgeni rasmi kuwasili. Mafunzo hayo ya siku tatu yaliyofanyika jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wachora vibonzo wa “kizazi cha tatu,” yalijikiti katika misingi ya uchoraji karikacha na katuni za maoni.
Balozi na Mwakilishi wa Uswisi Afrika Mashariki, Arthur Mattli, akimkabidhi cheti cha ushiriki wa “Warsha ya Uchoraji Karikacha & Vibonzo,” Saidi Michael maarufu kama “Wakudata” hivi karibuni baada ya kushiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo yaliyoendeshwa na asasi ya Nathan Mpangala Foundation (NMF) na kufadhiliwa na Ubalozi wa Uswisi nchini. Katikati ni Mwenyekiti wa NMF, Nathan Mpangala.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger