Waziri
wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mamhoud Thabiti Kombo,
akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Mwaka wa wadau wa Amref
Uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi
wa Amref Nchini, Florence Temu akizungumza wakati wa mkutano huo wa
wadau uliofanyika katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam
Mtendaji mkuu wa kurugenzi wa Amref Africa ,Githinji Gitahi akizungumza kwa ufupi Historia ya Amref Hapa nchini na Mafanikio yake katika sekta ya Afya Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Mpoki Ulisubisya akizungumzia namna gani Amref imesaidiakatika sekta ya Afya nchini sehemu ya wadau walioshiriki mkutano wa wadau wa Amref katika Hotel Serena Jijini Dar es Salaam sehemu ya wadau walioshiriki mkutano wa wadau wa Amref katika Hotel Serena Jijini Dar es Salaam Picha ya Pamoja ya wadau wa Amref na Mgeni Rasmi Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mamhoud Thabiti Kombo
Mtendaji mkuu wa kurugenzi wa Amref Africa ,Githinji Gitahi akizungumza kwa ufupi Historia ya Amref Hapa nchini na Mafanikio yake katika sekta ya Afya Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dk. Mpoki Ulisubisya akizungumzia namna gani Amref imesaidiakatika sekta ya Afya nchini sehemu ya wadau walioshiriki mkutano wa wadau wa Amref katika Hotel Serena Jijini Dar es Salaam sehemu ya wadau walioshiriki mkutano wa wadau wa Amref katika Hotel Serena Jijini Dar es Salaam Picha ya Pamoja ya wadau wa Amref na Mgeni Rasmi Waziri wa Afya wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mamhoud Thabiti Kombo
SHARE
No comments:
Post a Comment