TRA

TRA

Friday, April 21, 2017

Mashahidi wa Yehova wapigwa marufuku nchini Urusi

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
Mahakama ya juu ya Urusi imepitisha uamuzi unaopiga marufuku madhehebu ya Mashahidi wa Yehova nchini humo.

 Uamuzi huo umeamuru kufungwa kwa makao makuu ya madhehebu hayo na matawi yake yapatayo 395.

 Mashahidi wa Yehova vile vile wameamuliwa kukabidhi mali ya madhehebu yao kwa taifa la Urusi. 

       Rais wa Urusi, Vladmir Putin

Hatua hiyo ya mahakama ya juu ya Urusi imefuatia uamuzi wa wizara ya sheria ya nchi hiyo, ambayo ilisema imebaini shughuli zinazoashiria misimamo ya kupindukia katika madhehebu hayo, na kutaka yapigwe marufuku.

 Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limesema hatua hiyo ni kikwazo cha uhuru wa kuabudu nchini Urusi.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger