Rais Azali Assoumani amechukua hatua hiyo ikiwa ni
mwaka mmoja tu baada ya uchaguzi mkuu kwenye visiwa hivyo.
Amewaondoa
mawaziri wote wa chama cha JUA kilichounda serikali ya mseto pamoja na
chama chake CRC.
Hatua hii, pamoja na masuala mengine, inatajwa kuwa inalenga
kurahisisha mkakati wa rais wa kubadilisha katiba ya visiwa hivyo.
DW imezungumza na mwandishi wa habari aliyeko Comoro, Aboubakar Omar, ambaye ameanza kuzungumzia sababu hasa za kufikiwa kwa hatua hii.
DW imezungumza na mwandishi wa habari aliyeko Comoro, Aboubakar Omar, ambaye ameanza kuzungumzia sababu hasa za kufikiwa kwa hatua hii.
SHARE
No comments:
Post a Comment