- Jana Mbunge Halima Mdee ametoa kauli zinazolenga kumfedhesha Rais wetu na kuleta uchochezi.
- Halima Mdee anasema ipo siku Rais ataagiza wananchi watembee vifua wazi. Nimeshtushwa sana.
- Kwamba Mdee anasema Rais wetu ni wa ovyo, huu ni uchochezi na asingefaa kuyatoa kama kiongozi anayetakiwa awe na maadili.
- Kwa mamlaka niliyonayo naagiza Halima Mdee akamatwe na Jeshi la Polisi na awekwe ndani saa 48 na ahojiwe.
- Halima anasema Rais awekwe breki, nataka akawaambie Jeshi la Polisi hiyo breki ni ya aina gani.
- Nawataka wanasiasa wote katika wilaya yangu wasitoe kauli kama za Halima Mdee na sitowavumilia.
SHARE









No comments:
Post a Comment