TRA

TRA

Wednesday, July 5, 2017

Moto wazua taharuki ghorofani, mamia wahofiwa kupoteza maisha

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
              Wananchi wakiangalia jengo likiteketea


AFRIKA Kusini

MOTO mkubwa umewaka katika jengo la ghorofa na kusababisha taharuki kubwa, huku mamia ya watu wakihofiwa kupoteza maisha.

Kutokana na tukio hilo wengine waliamua kufunga kamba dirishani ili kuondoka katika jengo hilo wakati moto ukiendelea kuwaka.

Wafanyakazi wa kitengo cha dharura walikaririwa wakisema kuna uwezekano watu wengi wamepoteza maisha katika tukio hilo ambalo limetokea leo Jumatano.

Tayari watu 50 wameokolewa na wengine wanaendelea kupatiwa matibabu, alisema msemaji wa kituo hicho, Nana Hadebe na kubainisha kuwa moto huo tayari umezimwa na chanzo chake hakijafahamika.  

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger