TRA

TRA

Friday, July 21, 2017

Singida United inavyojiandaa kuelekea msimu mpya 2017/18

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

 

Tunahesabu siku 35 kuanzia leo kuelekea ufunguzi wa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambapo Klabu zimekuwa zikifanya maandalizi mbalimbali kujiandaa na msimu huo utakaoanza August 26, 2017 zikifanya usajili na mazoezi.

Miongoni mwa timu hizo ni Singida United iliyopanda Daraja msimu huu ambayo pia ni moja ya timu zilizodhaminiwa na SportPesa wamekuwa wanafanya mazoezi katika viwanja viwili Mwanza kuelekea msimu wa 2017/18.

Singida United ambayo katika msimu unaotarajia kuanza baadaye mwezi ujao wataonekana wakiwa jezi zenye logo ya SportPesa kifuani ambao ndiyo wadhamani wao wanafanya mazoezi katika viwanja vya Nyamagana wenye nyasi bandia nyakati za asubuhi na nyakati za jioni hufanya mazoezi yao Chuo cha Ualimu Butimba, Mwanza.








CHANZO: Millardayo

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger