Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia baada ya kukabidhiwa kombe
Timu ya taifa ya
Ujerumani imetwaa taji la kombe la mabara baada ya kuishinda Chile kwa
bao 1-0 katika mchezo uliochezwa kwenye dimba la Saint Petersburg
nchini Urusi.
Katika mchezo wa kumsaka mshindi wa tatu Ureno walifanikiwa kutwaa medali ya shaba baada ya kuichapa Mexico kwa mabao 2-1.
Bao la mkwaju wa penati lilifungwa na Adrien Silva katika dakika ya 104 likawapa Ureno ushindi muhimu licha ya kumkosa nyota wake Cristiano Ronaldo.
CHANZO: DW
SHARE









No comments:
Post a Comment