TRA

TRA

Monday, August 21, 2017

CHELSEA YAIFUNDISHA SOKA SPURS UWANJA WA WEMBLEY,ALONSO SHUJAA WA CONTE

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 436A4F4100000578-4807184-image-a-83_1503247838806
Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya Uingereza timu ya Chelsea hatiamaye Leo wamezinduka na kupataa ushindi jumla ya magoli 2-1 dhidi ya Tottenham Spurs mchezo uliochezwa kwenye dimba la uwanja wa Wembley ambao unatumiwa na Spurs.
Magoli yote mawili ya Chelsea yamefungwa na beki wao Marcos Alonso huku bao la wenyeji likifungwa na Michy Batshuayi aliyejifunga katika harakati ya kuokoa krosi iliyopigwa kuelekea langoni mwa Chelsea hadi mpira unamalizika Chelsea wameibuka na ushindi wa 2-1 baada ya mchezo wa ufunguzi kufungwa na Burnely 3-1.
Marcos Alonso fires the ball underneath Hugo Lloris to give Chelsea a dramatic late win over Tottenham
Alonso celebrates after a firing a late winner underneath the body of Tottenham goalkeeper Lloris
Antonio Conte leaps for joy after the Blues won Sunday's London derby in dramatic circumstances
Michy Batshuayi heads beyond the outstretched glove of Thibaut Courtois and into the back of his own net
The Belgian striker is consoled by David Luiz after his error looked to have earned Tottenham a point
Alonso watches his free-kick nestle into the back of the net and beyond the reach of Tottenham's Lloris
Lloris' despairing dive isn't enough to prevent Alonso from putting Chelsea ahead against Tottenham
Alonso wheels away after giving Chelsea the lead with a magnificent free-kick in the 24th minute of the game
The Chelsea players embrace the Spanish left back after his sweetly struck free-kick flew into the top corner

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger