TRA

TRA

Wednesday, August 9, 2017

Mourinho abadili mwelekeo kuhusu mchezaji wa Real Madrid

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Jose Maourinho anasema kuwa matumaini ya Manchester United kumsaini mchezaji wa Real Madrid mzaliwa  wa Wales Gareth Bale hayapo tena.

Awali Mourinho alisema kuwa angepigania kuweza kumsaini Bale ikiwa Real Madrid ingetaka kumuuza. "Nafikiri kila mtu anajua kuwa anataka kusalia," Mourinho alisema.

Rais wa Real Madrid Florentino Perez alinukuliwa na gazeti la Uhispania, Marca akisema kwa mabingwa hao wa Uhispania hawana mpango wa kumuuza Bale.

Rais wa Real Madrid Florentino Perez alinukuliwa na gazeti la Uhispania, Marca akisema kwa mabingwa hao wa Uhispania hawana mpango wa kumuuza Bale.
"Akili yangu iko katika kandanda na siwezi kuskiliza chochote." alisema Bale.
Bale 28, alijiunga na Real Madrid kwa kima cha pauni 85 akitokea Tottenham mwaka 2013.
Alitangaza kuwa na Madrid siku za usoni mwishoni mwa msimu akisema kuwa atakuwa na furaha kusalia na mabingwa hao wa Ulaya mara 12.
Madrid pia wanaripotiwa kuwa na mpango wa kumsaini mshambuliaji wa Monaco Kylina Mbappe kwa pauni milioni 160.

CHANZO: BBC

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger