TRA

TRA

Tuesday, August 15, 2017

MREMBO BABY J AWEKA MAMBO HADHARANI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Msanii wa muziki kutoka Visiwani Zanzibar, Baby J amefunguka kuwa hana mpinzani katika muziki anaoufanya.
Baby ameeleza kuwa hajawahi kuwa na mpinzani katika muziki anaofanya yeye, Licha ya kuwa miaka ya zamani alikuwa akishindanishwa na mwanamuziki Sainaj kutokea huko huko, mrembo huyo amekana kuwa na mpinzani.
“Kwanza sijawahi kuwa na mpinzani, kwa sababu siku zote unakuwa unajiona wewe mwenyewe huoni cha mbali mimi navyo jiona yani kwanza nime zaliwa Zanzibar, nimefumbua macho Zanzibar, hao wote wanaojiita wapinzani ndiyo nimewepokea hapa Zanzibar, so siamini kama nina mpinzani,” amesema mrembo huyo ambaye hivi karibuni ameshirikishwa kwenye ngoma mpya ya Kasssim Mganga.
Pia ameongeza kuwa moja ya sababu zinazowafanya wasanii wa kike kuwa wa chache kisiwani humo ni kutokana na kutokujiamini.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger