Mkutano wa 37 wa wakuu wa Nchi za Jumuiya
Kusini mwa Afrika SADC, umemteua tena Mtanzania Dkt. Stergomena Tax, (pichani),
kuendelea kushika wadhifa wa Katibu Mtendaji wa Jumuiya hiyo mwishoni mwa kikao
hicho mjini Ptetoria, Afrika Kusini.
Dkt. Tax tayari ameapishwa kushika
wadhifa huo ambapo Makamu wa Rais, Mama Samia Suluhu Hassan, alikuwa mjongoni
mwa viongozi waliohudhuria hafla hiyo iliyosimamiwa na Mwenyekiti mpya wa SADC,
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma.
Dkt. Tax, akila kiapo baada ya uteuzi huo.
Mwenyekiti wa SADC, Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na Dkt. Tax(wapili kulia).
Makamu wa Rais, akiwa kwenye kikao hicho
Makamu wa Rais na ujumbe wake
Makamau wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiweka saini
moja ya makubaliano katika mkutano wa 37 wa Wakuu wa Nchi na Serikali za
Jumuiya ya Kusini mwa Afrika wakati wa kuhitimishwa kwa mkutano huo mjini
Pretoria.
![]() |
| Mwenyekiti wa SADC, Rais Jacob Zuma akiendesha kikao cha 37 cha wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Nchi za Kusini mwa Afrika SADC, wakati wa kilele cha mkutano huo, Agosti 20, 2017 |
Dkt. Tax, akisaini kiapo hicho baada ya kuapishwa.
![]() |
| Dkt. Tax.(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS) |
SHARE


















No comments:
Post a Comment