Rais Dkt.
John Pombe Magufuli akishikana mkono na mgeni wake Rais wa Uganda,
Yoweri Kaguta Museveni baada ya kuweka jiwe la Msingi la ujenzi wa
mradi mkubwa wa usafirishaji wa Mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda
mpaka katika bandari ya Tanga, katika sherehe iliyofanyika viwanja vya
Chongoleani, Mkoani Tanga leo.
Rais Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta
Museveni wakiwasili katika viwanja vya Chongoleani, Mkoani Tanga tayari
kwa sherehe za uwekaji wa jiwe la Msingi la ujenzi wa mradi mkubwa wa
usafirishaji wa Mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda mpaka katika
bandari ya Tanga.
Rais Dkt.
John Pombe Magufuli na mgeni wake Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta
Museveni wakifurahi jambo na Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan wakiwa
katika viwanja vya Chongoleani, Mkoani Tanga tayari kwa sherehe za
uwekaji wa jiwe la Msingi la ujenzi wa mradi mkubwa wa usafirishaji wa
Mafuta ghafi kutoka Hoima nchini Uganda mpaka katika bandari ya Tanga.
Rais Dkt.
John Pombe Magufuli na mgeni wake Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta
Museveni, Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan (wa tatu kushoto), Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa (kulia) pamoja na viongozi wengine wakiwa
wamesimama wakati wimbo wa taifa ukiimbwa.
Wananchi
wakishangilia wakati Rais Dkt. John Pombe Magufuli na mgeni wake Rais wa
Uganda, Yoweri Kaguta Museveni wakiwasili katika viwanja vya
Chongoleani, Mkoani Tanga tayari kwa sherehe za uwekaji wa jiwe la
Msingi la ujenzi wa mradi mkubwa wa usafirishaji wa Mafuta ghafi kutoka
Hoima nchini Uganda mpaka katika bandari ya Tanga.
SHARE
No comments:
Post a Comment