TRA

TRA

Wednesday, August 23, 2017

SERIKALI YAANZA RASMI UTOAJI LESINI ZA MAGAZETI NA MAJARIDA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


PIX0
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari kuhusu kuanza kwa utoaji wa leseni kwa magazeti na majarida leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Habari na Picha Bw. Rodney Thadeus.
PIX1b
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi (katikati) akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu kuanza kwa utoaji wa leseni kwa magazeti na majarida, kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Usajili Bw. Patrick Kipangula na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Habari na Picha Bw. Rodney Thadeus.
PIX2
Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Usajili Bw. Patrick Kipangula (kushoto) akisoma baadhi ya masharti ya kanuni za usajili wa magazeti na majarida kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani) katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Habari na Picha  Bw. Rodney Thadeus.
PIX3
Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi (katikati) akifafanua jambo mbele ya Waandishi wa Habari kuhusu kuanza kwa utoaji wa leseni kwa magazeti na majarida.
PIX4
Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi (hayupo pichani) wakati akitoa taarifa ya kuanza kwa utoaji wa leseni kwa magazeti na majarida.
Picha na Idara ya Habari (MAELEZO)

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger