• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Tuesday, August 22, 2017

Home > > Watoto wazidi kutumiwa na Boko Haram

Watoto wazidi kutumiwa na Boko Haram

at 11:24 PM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !
 
Kumekuwa na ongezeko kwa idadi ya watoto wanaotuimiwa kama washambuliaji wa kujitolea mhanga na wanamgambo wa Boko Haram, kaskazini mashariki mwa Nigeria, kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa.

Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto (UNICEF), linasema kuwa tayari visa 83 vimeripotiwa mwaka huu, mara nne zaidi ya vile vya mwaka wote wa 2016.

55 kati yao walikuwa ni wasichana walio na umri chini ya miaka 15 na kwenye kisa kimoja, bomu lilifungwa kwa mtot ambaye alikuwa amebewa na msichana mdogo.
 
  • Watoto wachanga watumiwa na Boko Haram
  • Nigeria: Watoto watekeleza shambulio
  • UN yaonya watoto kutumiwa na Boko Haram
Unicef inasema mbinu hii imezua hofu kwa watoto wanaoachiliwa na Boko Haram.

Kulingana na Umoja wa Mataifa, watoto 127 wametumiwa kama walipuaji kaskazini mashariki mwa Nigeria tangu mwaka 2014.

Wanamgambo wa Boko Haram mara kwa mara wamewatumia watoto, na wamewateka mamia ya wasichana wa shule na kuwalazimisha watoto wavulana kujiunga na jeshi lao.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • Shirika la TTCL lazinduwa ‘Fiber Connect Bundle’
    Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL Corporation, Bw. Waz...
  • Rais aingia katika wakati mgumu, vurugu zatawala Venezuela
    Watu wawili wameuawa katika mgomo na maandamano yanayofanyika nchini Venezuela ya kupinga mpango wa Rais Nicolas Maduro wa kuiandika ...
  • NAPE KUONGOZA BONANZA LA WANAHABARI FEBRUARY 18 DAR ES SALAAM
     Ofisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Zamaradi Kawawa akizungumza juu ya Bonanza hilo  Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri T...

Popular Posts

  • Shirika la TTCL lazinduwa ‘Fiber Connect Bundle’
    Ofisa Mtendaji Mkuu wa TTCL Corporation, Bw. Waz...
  • Rais aingia katika wakati mgumu, vurugu zatawala Venezuela
    Watu wawili wameuawa katika mgomo na maandamano yanayofanyika nchini Venezuela ya kupinga mpango wa Rais Nicolas Maduro wa kuiandika ...
  • NAPE KUONGOZA BONANZA LA WANAHABARI FEBRUARY 18 DAR ES SALAAM
    NAPE KUONGOZA BONANZA LA WANAHABARI FEBRUARY 18 DAR ES SALAAM
     Ofisa Habari wa Idara ya Habari Maelezo Zamaradi Kawawa akizungumza juu ya Bonanza hilo  Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri T...
  • DC MATIRO AWARUDISHA KAZINI WATUMISHI WA AFYA
    DC MATIRO AWARUDISHA KAZINI WATUMISHI WA AFYA
    Watumishi wa afya 22 katika hospitali ya Kolandoto manispaa ya Shinyanga wamerudishwa kazini na mkuu wa wilaya ya Shinyanga...
  • Bweni la Itamba Sekondari Makete Likiteketea Kwa Moto
    Bweni la Itamba Sekondari Makete Likiteketea Kwa Moto
    Bweni la Wasichana la shule ya sekondari Itamba iliyopo katika tarafa ya Matamba wilayani Makete mkoani Njombe leo limeteketea kwa ...
  • KIAMA KWA WAUZA PEMBEJEO FEKI
      Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Singida Beatus Chowaji akisoma bango mara baaa ya kuzindua mradi wa Faida Mali...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger