Kikosi cha timu ya Yanga kinataraji kushuka dimbani siku ya
jumamosi kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Ruvu Shooting ya mkoani
Pwani.
Mchezo huo unaotarajiwa kupigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam,unatarajiwa kuwa na ushindani wa hali ya juu kutokana na timu hizo kuwa kwenye maandalizi ya kujiwinda na msimu ujao wa ligi kuu ya Tanzania bara.
Mbali na mchezo huo utakaopigwa siku ya jumamosi pia kikosi cha Yanga kinatarajiwa kucheza mechi nyingine ya kirafiki na timu ya Mlandege FC ya Zanzibar,mechi itakayochezwa siku ya jumapili ya tarehe 13 ya mwezi huu kwenye uwanja wa Amani huko Zanzibar.
Mchezo huo unaotarajiwa kupigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam,unatarajiwa kuwa na ushindani wa hali ya juu kutokana na timu hizo kuwa kwenye maandalizi ya kujiwinda na msimu ujao wa ligi kuu ya Tanzania bara.
Mbali na mchezo huo utakaopigwa siku ya jumamosi pia kikosi cha Yanga kinatarajiwa kucheza mechi nyingine ya kirafiki na timu ya Mlandege FC ya Zanzibar,mechi itakayochezwa siku ya jumapili ya tarehe 13 ya mwezi huu kwenye uwanja wa Amani huko Zanzibar.
SHARE
No comments:
Post a Comment