TRA

TRA

Thursday, August 10, 2017

YANGA UWANJANI NA RUVU SHOOTING JUMAMOSI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Kikosi cha timu ya Yanga kinataraji kushuka dimbani siku ya jumamosi kucheza mchezo wa kirafiki na timu ya Ruvu Shooting ya mkoani Pwani.
Mchezo huo unaotarajiwa kupigwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam,unatarajiwa kuwa na ushindani wa hali ya juu kutokana na timu hizo kuwa kwenye maandalizi ya kujiwinda na msimu ujao wa ligi kuu ya Tanzania bara.
Mbali na mchezo huo utakaopigwa siku ya jumamosi pia kikosi cha Yanga kinatarajiwa kucheza mechi nyingine ya kirafiki na timu ya Mlandege FC ya Zanzibar,mechi itakayochezwa siku ya jumapili ya tarehe 13 ya mwezi huu kwenye uwanja wa  Amani huko Zanzibar.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger