• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Tuesday, September 5, 2017

Home > > Gari 'laingia' ndani ya nyumba England

Gari 'laingia' ndani ya nyumba England

at 12:14 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Watu wanne walijeruhiwa, watatu kati yao vibaya, baada ya gari kugonga ukuta na kuingia hadi ndani ya nyumba eneo la York nchini Uingereza.

Gari hilo liliwasha moto kwenye nyumba hiyo.
Gari hilo aina ya VW Golf lilifika hadi sebuleni na kumjeruhi dereva, abiria wawili na mwanamume mmoja aliyekuwa akipumzika kwenye kochi.
 Gari hilo liliingia hadi sebuleni na kumjeruhi mwanamume aliyekuwa akipumzika kwenye kochi

Sajini Paul Cording wa kikosi cha polisi cha Yorkshire Kaskazini alisema ni "jambo la kushangaza kwamba hakuna aliyefariki".
Mwanamume mmoja ambaye anaaminika kuwa dereva wa gari hilo, ambaye ana miaka 20 hivi, alikamatwa. 

Sajini Cording alisema gari hilo ni kama "liliingia ndani ya nyumba hiyo katika barabara ya Rivelin Way, mtaa wa Clifton Moor.
Polisi wameomba walioshuhudia kujitokeza kutoa habari kuhusu gari hilo kabla ya ajali hiyo.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • NEEC FANYENI TATHMINI YA KISAYANSI KUHUSU MANUFAA YA MIFUKO YOTE YA UWEZESHAJI-MAJALIWA
    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Mkurugenzi wa manispaa ya Dodoma, Bw. Godwin Kunambi (wapili kushoto) hundi ya Shilin...
  • FULL TIME: SERENGETI BOYS 3 vs 0 BURUNDI U-17
    Na Faustine Ruta, Bukoba Timu ya Vijana U17 ya Burudi leo kwenye uwanja wa Kaitaba imeanza mchezo wake wa kwanza wa kirafiki ...
  • RUKWA:KIJANA AMUUA BIBI YAKE KWA RISASI WAKIGOMBEA MASHAMBA YA URITHI
    WATU sita wamekufa na mmoja kujeruhiwa katika matukio mawili tofauti yaliyotokea mkoani Rukwa likiwemo la mkazi w...

Popular Posts

  • NEEC FANYENI TATHMINI YA KISAYANSI KUHUSU MANUFAA YA MIFUKO YOTE YA UWEZESHAJI-MAJALIWA
    NEEC FANYENI TATHMINI YA KISAYANSI KUHUSU MANUFAA YA MIFUKO YOTE YA UWEZESHAJI-MAJALIWA
    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi Mkurugenzi wa manispaa ya Dodoma, Bw. Godwin Kunambi (wapili kushoto) hundi ya Shilin...
  • FULL TIME: SERENGETI BOYS 3 vs 0 BURUNDI U-17
    FULL TIME: SERENGETI BOYS 3 vs 0 BURUNDI U-17
    Na Faustine Ruta, Bukoba Timu ya Vijana U17 ya Burudi leo kwenye uwanja wa Kaitaba imeanza mchezo wake wa kwanza wa kirafiki ...
  • RUKWA:KIJANA AMUUA BIBI YAKE KWA RISASI WAKIGOMBEA MASHAMBA YA URITHI
    RUKWA:KIJANA AMUUA BIBI YAKE KWA RISASI WAKIGOMBEA MASHAMBA YA URITHI
    WATU sita wamekufa na mmoja kujeruhiwa katika matukio mawili tofauti yaliyotokea mkoani Rukwa likiwemo la mkazi w...
  • MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AMJULIA HALI MTOTO WA RAIS MSTAAFU KHALFAN KIKWETE
    MAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AMJULIA HALI MTOTO WA RAIS MSTAAFU KHALFAN KIKWETE
    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemjulia hali mtoto wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Khal...
  • WAKULIMA KUNUFAIKA NA BWAWA LA KILOMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
    WAKULIMA KUNUFAIKA NA BWAWA LA KILOMO CHA UMWAGILIAJI MKOANI GEITA.
      Mkuu wa Wilaya ya Geita  Mwl Herman Kapufi akikagua Shamba la Mahindi kwenye Kijiji cha Nyang'uku . Mwenyekiti...
  • MAKOGA : SHERIA MPYA KUTUMIKA KUKUZA MAPATO YA MJI WA MAFINGA
    MAKOGA : SHERIA MPYA KUTUMIKA KUKUZA MAPATO YA MJI WA MAFINGA
    Mwenyekiti wa halmashauri ya Mafinga Mjini Charles Makoga akizungumza wakati wa baraza la madiwani wa halmashauri hiyo Baadhi y...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger