• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Tuesday, September 5, 2017

Home > > Gari 'laingia' ndani ya nyumba England

Gari 'laingia' ndani ya nyumba England

at 12:14 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Watu wanne walijeruhiwa, watatu kati yao vibaya, baada ya gari kugonga ukuta na kuingia hadi ndani ya nyumba eneo la York nchini Uingereza.

Gari hilo liliwasha moto kwenye nyumba hiyo.
Gari hilo aina ya VW Golf lilifika hadi sebuleni na kumjeruhi dereva, abiria wawili na mwanamume mmoja aliyekuwa akipumzika kwenye kochi.
 Gari hilo liliingia hadi sebuleni na kumjeruhi mwanamume aliyekuwa akipumzika kwenye kochi

Sajini Paul Cording wa kikosi cha polisi cha Yorkshire Kaskazini alisema ni "jambo la kushangaza kwamba hakuna aliyefariki".
Mwanamume mmoja ambaye anaaminika kuwa dereva wa gari hilo, ambaye ana miaka 20 hivi, alikamatwa. 

Sajini Cording alisema gari hilo ni kama "liliingia ndani ya nyumba hiyo katika barabara ya Rivelin Way, mtaa wa Clifton Moor.
Polisi wameomba walioshuhudia kujitokeza kutoa habari kuhusu gari hilo kabla ya ajali hiyo.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • TANZANIA NA CHINA ZATILIANA SAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO UJENZI WA RELI YA KATI KWA KIWANGO CHA KIMATAIFA
    K...
  • ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
      Na Jumbe Ismailly -HANANG .  ALIYEKUWA diwani wa kata ya Gihandu,wilayani Hanang,Mkoani Manyara kwa tiketi ya Chama c...
  • MO DEWJI AMWAGA SIMBA MIL. 100 ZA USAJILI, KUTUMIA ZAIDI YA BILIONI
    This...

Popular Posts

  • TANZANIA NA CHINA ZATILIANA SAINI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO UJENZI WA RELI YA KATI KWA KIWANGO CHA KIMATAIFA
    K...
  • ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
    ALIYEKUWA DIWANI WA KATA YA GIHANDU AJIUZULU
      Na Jumbe Ismailly -HANANG .  ALIYEKUWA diwani wa kata ya Gihandu,wilayani Hanang,Mkoani Manyara kwa tiketi ya Chama c...
  • MO DEWJI AMWAGA SIMBA MIL. 100 ZA USAJILI, KUTUMIA ZAIDI YA BILIONI
    This...
  • DC MATIRO AWARUDISHA KAZINI WATUMISHI WA AFYA
    DC MATIRO AWARUDISHA KAZINI WATUMISHI WA AFYA
    Watumishi wa afya 22 katika hospitali ya Kolandoto manispaa ya Shinyanga wamerudishwa kazini na mkuu wa wilaya ya Shinyanga...
  • KIAMA KWA WAUZA PEMBEJEO FEKI
      Katibu Tawala Msaidizi Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Singida Beatus Chowaji akisoma bango mara baaa ya kuzindua mradi wa Faida Mali...
  • MENGI USIYOYAJUA KUHUSU MNYAMA TWIGA.
    MENGI USIYOYAJUA KUHUSU MNYAMA TWIGA.
    Alichoandika Moses Ngw'at kuhusu mnyama Twiga TWIGA ni miongoni mwa wanyama wenye mvuto mkubwa kutokana na uzuri na mambo kadhaa ...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger