• About
  • Services
  • Products
  • Blog
  • Contact Us

NCHI YANGU

Menu
  • Home
  • Lifestyle
    • Sub Menu 1
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Sports
    • Sub Menu 1
      • Sub Menu 1
      • Sub Menu 2
      • Sub Menu 3
    • Sub Menu 2
    • Sub Menu 3
  • Post
  • Fitness
  • Music
  • Travel
  • Politics
  • Beauty

TRA

TRA

Tuesday, September 5, 2017

Home > > Gari 'laingia' ndani ya nyumba England

Gari 'laingia' ndani ya nyumba England

at 12:14 AM
Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

Watu wanne walijeruhiwa, watatu kati yao vibaya, baada ya gari kugonga ukuta na kuingia hadi ndani ya nyumba eneo la York nchini Uingereza.

Gari hilo liliwasha moto kwenye nyumba hiyo.
Gari hilo aina ya VW Golf lilifika hadi sebuleni na kumjeruhi dereva, abiria wawili na mwanamume mmoja aliyekuwa akipumzika kwenye kochi.
 Gari hilo liliingia hadi sebuleni na kumjeruhi mwanamume aliyekuwa akipumzika kwenye kochi

Sajini Paul Cording wa kikosi cha polisi cha Yorkshire Kaskazini alisema ni "jambo la kushangaza kwamba hakuna aliyefariki".
Mwanamume mmoja ambaye anaaminika kuwa dereva wa gari hilo, ambaye ana miaka 20 hivi, alikamatwa. 

Sajini Cording alisema gari hilo ni kama "liliingia ndani ya nyumba hiyo katika barabara ya Rivelin Way, mtaa wa Clifton Moor.
Polisi wameomba walioshuhudia kujitokeza kutoa habari kuhusu gari hilo kabla ya ajali hiyo.

CHANZO: BBC
Unknown

Author: Unknown

SHARE
  • Share
  • Tweet
  • Share
  • Pin
  • Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
Fourni par Blogger CodeEnvoyer par emailBlogThis !Partager sur TwitterPartager sur FacebookPartager sur LinkedInÉpingler sur PinterestPartager sur StumbleUponVoter pour cet article sur HelloCoton

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

Tupate kupitia Facebook

Popular Posts

  • JE, UNAFAHAMU HISTORIA YA MUADHAMA ASKOFU MKUU POLYCARP KARDINALI PENGO? SOMA HAPA
      Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam akipongezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya...
  • ANGALIA HAPA. WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WAHITIMU MAFUNZO YA JKT
    Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa wamejipanga kusubiri sherehe za mahafali ya kum...
  • Wakurugenzi watatu wajiuzulu kupinga ubaguzi
    Wakurugenzi watatu wa juu wamejiuzulu kutoka katika baraza la uchumi na uzalishaji la Ikulu ya Marekani, wakati rais Donald Trump aki...

Popular Posts

  • JE, UNAFAHAMU HISTORIA YA MUADHAMA ASKOFU MKUU POLYCARP KARDINALI PENGO? SOMA HAPA
    JE, UNAFAHAMU HISTORIA YA MUADHAMA ASKOFU MKUU POLYCARP KARDINALI PENGO? SOMA HAPA
      Muadhama Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam akipongezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya...
  • ANGALIA HAPA. WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WAHITIMU MAFUNZO YA JKT
    ANGALIA HAPA. WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WAHITIMU MAFUNZO YA JKT
    Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiwa wamejipanga kusubiri sherehe za mahafali ya kum...
  • Wakurugenzi watatu wajiuzulu kupinga ubaguzi
    Wakurugenzi watatu wa juu wamejiuzulu kutoka katika baraza la uchumi na uzalishaji la Ikulu ya Marekani, wakati rais Donald Trump aki...
  • WAZIRI UMMY AENDESHA MKUTANO WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA AFYA WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
    WAZIRI UMMY AENDESHA MKUTANO WA BARAZA LA KISEKTA LA MAWAZIRI WA AFYA WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
    M...
  • RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA MAAFISA WA JESHI LA POLISI WALIOPANDISHWA VYEO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM,AWATAKA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WANAOLETA MATATIZO
    RAIS DKT. MAGUFULI AZUNGUMZA NA MAAFISA WA JESHI LA POLISI WALIOPANDISHWA VYEO IKULU JIJINI DAR ES SALAAM,AWATAKA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA WANAOLETA MATATIZO
    Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) Ahmada Abdalla Khamis akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe...
  • Ufaransa: Waziri mkuu wa zamani Francois Fillon aongoza mbio za Urais
      Mojawapo ya vipaumbe...

Pages

  • Home
  • About Us
  • Contat Us
 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger