TRA

TRA

Tuesday, September 5, 2017

Wabunge upinzani wamegoma kuingia Bungeni

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



Habari kutoka Bungeni Dodoma ni kuhusu Wabunge wa Upinzani wamegoma kuingia ndani ya ukumbi wa Bunge wakati Mkutano wa Nane wa Bunge la 11 ukiendelea kwa madai kuwa hawakufurahishwa na maamuzi ya kufukuzwa Wabunge 8 wa Viti Maalumu wa Chama cha Wananchi CUF.
Mkutano wa Nane wa Bunge la Jamhuri umeanza leo Mjini Dodoma na moja ya mambo yaliyopo kwente ratiba ya mkutano huo ni kuapishwa kwa Wabunge wapya 8 wa Viti Maalumu ambao wameteuliwa kuziba nafasi za Wabunge 8 wa Viti Maalumu waliofutwa CUF.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger