TRA

TRA

Saturday, September 16, 2017

MADIWANI 6 WASHIKILIWA NA POLISI GEITA KWA MAANDAMANO YA JANA MKOANI GEITA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoani Geita Mponjoli Mwabulambo akielezea juu ya hatua ambayo amechukua kwa kuwakamata madiwani sita pamoja na katibu wa UVCCM  Kutokana na kufanya maandamano ambayo yalikuwa ni kinyume na sheria za Nchi mbele ya waandishi wa habari.
Baadhi ya askari pamoja na wafanyakazi wa mgodi huo wakiwa kwenye Bomba ambalo limepasuliwa na Madiwani wa Halmashauri kwa maelezo ya wananchi ambao waliwaona wakifanya uharibifu huo.
Sehemu ya Bomba iliyoharibiwa ikitilili9sha maji kwa kasi kubwa zaidi kutokana na tukio ambalo limetokea siku ya jana kwa madiwani kuandamana wakishinikiza mgodi kuwalipa kiasi cha Dola Milioni 12.65 ambazo ni deni la mwaka 2004 hadi 2013. .
Meneja Mhandamizi wa Maswala ya Jamii Mgodi wa GGM ,Manase Ndoloma akiwa sehemu ya eneo ambalo lilifanyiwa uharibifu wa kupasuliwa kwa bomba ambalo ndio linapeleka maji kwenye chanzo cha maji mgodini hapo.
Shughuli za ukarabati wa Bomba hilo zikiendelea.
Mafundi wakiendelea na shughuli za ukarabati wa Bomba hilo.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger