TRA

TRA

Sunday, September 3, 2017

MKE WA ROONEY AIBUA GUMZO

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


                           Coolen Rooney ni mke wa staa wa club ya Everton Wayne Rooney ambaye kwa juzi aliripotiwa kuingia matatani kwa kuendesha gari akiwa amelewa, Coolen ambaye ni mama wa watoto watatu,  kwa mujibu wa post yake anadaiwa alitoka na watoto wake.

          Mke wa Rooney alitoka na watoto wake watatu wakiwa katika gari lakini alihisi ama kugundua kuwa anafuatiliwa na wapiga picha ambao kwa kiasi kikubwa wanadhaniwa kuwa ni mapaparazi, baada ya kuhisi hivyo alitumia ukurasa wake wa twitter kuandika.

Tafadhari wapiga picha mnaweza kutuheshimu na kuacha kutufuatilia mimi na watoto wangu watatu kwenye gari, hii ni hatari”>>>Coolen Rooney Kama utakuwa unakumbuka vizuri Wayne Roone na Coolen ambaye wamezaa nae watoto watatu, wanatarajiwa kupata mtoto wa nne hiyo ni kwa mujibu wa post ya Wayne Rooney aliyopost wiki kadhaa zilizopita kupitia katika ukurasa wake wa instagram. Wayne Rooney na mkewa Coolen Rooney

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger