Meneja wa Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti unaotekelezwa na amref
health africa,LHRC,Halmashauri na wadau wengine chini ya Ufadhili wa UN
WOMEN ,Godfrey Matumu wa tatu toka kulia akiwa na wazee wa mila wa koo
ya Inchugu kata ya Machochwe kwenye eneo lao mahsusi kwa ajili ya vikao
vya mila kijiji cha Nyamakendo kabla ya kuanza mkutano uliotishwa na
wazee wa mila ili kutoa tamko la kupiga marufuku ukeketaji kwa watoto wa
kike na kuhimiza kuwasomesha.
Misimamo hiyo ya wazee ni dalili ya Nuru njema kwa watoto wa kike na kudhihirisha kuwa Serengeti bila ukeketaji inawezekana
Walipo wazee wa mila Mradi wa Tokomeza Ukeketaji unawafikia kama
inavyoonekana hapo kwenye eneo maalum la kikao cha wazee wa koo ya
Inchugu(Wakira)
No comments:
Post a Comment