TRA

TRA

Thursday, November 9, 2017

TRA YATOA SEMINA ELEKEZI KWA WAAJIRIWA WAPYA 400 WA TRA.

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !

T


Naibu Mkurugenzi Rasilimali Watu wa Mamlaka hiyo, Bw. Ulimbakisya Masomelu akiwaeleza Waajiriwa wapya wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) juu ya kuwa waadilifu na kutekeleza majukumu yao kikamilifu wakati wa Semina Elekezi ya Siku Kumi iliyoanza 08 Novemba, 2017 katika Chuo cha Kodi (ITA) Kilichopo Jijini Dar es Salaam.


Waajiriwa wapya 400 walioajiriwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakipokea elimu ya Semina Elekezi toka kwa Maafisa Utumishi wa TRA kuhusu namna ya kutekeleza majukumu yao kwa weledi wakati wa ufunguzi wa Semina hiyo ya Siku Kumi iliyoanza leo katika Chuo cha Kodi (ITA) kilichopo Jijini Dar es Salaam, 08 Novemba, 2017.


Waajiriwa wapya 400 walioajiriwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakipokea elimu ya Semina Elekezi toka kwa Maafisa Utumishi wa TRA kuhusu namna ya kutekeleza majukumu yao kwa weledi wakati wa ufunguzi wa Semina hiyo ya Siku Kumi iliyoanza leo katika Chuo cha Kodi (ITA) kilichopo Jijini Dar es Salaam, 08 Novemba, 2017.



Waajiriwa wapya 400 walioajiriwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wakipokea elimu ya Semina Elekezi toka kwa Maafisa Utumishi wa TRA kuhusu namna ya kutekeleza majukumu yao kwa weledi wakati wa ufunguzi wa Semina hiyo ya Siku Kumi iliyoanza leo katika Chuo cha Kodi (ITA) kilichopo Jijini Dar es Salaam, 08 Novemba, 2017.(PICHA ZOTE NA BENEDICT LIWENGA,TRA)

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger