Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua Mitambo ya
kuchujia na kuvutia maji kwa ajili ya Mashamba ya Kiwanda cha Sukari cha Kagera
Sugar, mitambo hiyo ipo pembezoni mwa Mto Kagera katika Wilaya ya Misenyi.
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua Mitambo ya
kuchujia na kuvutia maji kwa ajili ya Mashamba ya Kiwanda cha Sukari cha Kagera
Sugar, mitambo hiyo ipo pembezoni mwa Mto Kagera katika Wilaya ya Misenyi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanachi wa Wilaya
ya Misenyi(hawaonekani pichani) wakati akielekea katika kiwanda cha Sukari cha
Kagera Sugar kilichopo Wilayani hapo.
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
wafanyakazi (Vibarua) wanaofanyakazi katika Kiwanda cha Sukari cha Kagera Sugar
wakati akielekea kiwandani hapo.
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia Shamba
la miwa la Kiwanda hicho cha Sukari cha Kagera Sugar kilichopo Misenyi mkoani
Kagera
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanachi wa Wilaya
ya Misenyi(hawaonekani pichani) wakati akielekea katika kiwanda cha Sukari cha
Kagera Sugar kilichopo Wilayani hapo.
Mkuu wa Mkoa wa
Kagera Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu akizungumza katika eneo hilo la
Misenyi.
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasikiliza
wananchi wa Misenyi wakati wakitoa kero zao mbalimbali mara baada ya kuwasili.
SHARE
No comments:
Post a Comment