TRA

TRA

Sunday, November 5, 2017

Wateja wa Tigo Dodoma weee acha tu

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Mtoa huduma ya mauzo wa duka la Tigo Dodoma mtaa wa CDA, Alli Mshana akimhudumia mteja aliyefika kupata huduma dukani mapema mwishoni wa wiki hii.

Mteja wa Tigo, Mwajuma Hassan akikabidhiwa simu na msanii Jux huku wasanii Roma na Ben Pol wakishuhudia makabidhiano hayo yaliyofanyika duka la Tigo Dodoma mara baada ya wasanii kutembelea duka hilo. Ndani ya msimu huu wa Tigo Fiesta kampuni ya Tigo imeweka punguzo la bidhaa mbalimbali kwenye maduka yake yote nchini.

Wateja waliofurika  Duka la Tigo mtaa wa CDA Dodoma wakipata huduma za Tigo Pesa kwa kununua tiketi za Tamasha la Tigo Fiesta Dodoma.

 Wasanii Mimi Mars na Country Boy wakimkabidhi mteja wa Tigo, Kiyoya Shem tiketi ya kushuhudia tamasha la Tigo Fiesta Dodoma mapema mwishoni wa wiki iliyopita.
 

Wasanii Genevieve na Nedy Music wakiwa na mteja wa Tigo, Bruno Mpangala mara baada ya kujishindia tiketi ya kwenda kushuhudia tamasha la Tigo Fiesta  litakalofanyika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma 
 

Wateja waliofurika kupata huduma za Tigo Pesa kwa kununua tiketi za kushuhudia tamasha la Tigo Fiesta Dodoma

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger