TRA

TRA

Monday, December 4, 2017

KAMPUNI YA SBC YAZINDUA SHINDANO LA JISHINDIE MAMILIONI

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


Pepsi 1
Meneja Mafunzo na Uwezeshaji toka Kampuni ya SBC  Rashid Chenja (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa shindano la Jishindie Mamilioni mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Afisa Habari toka Idara ya Habari (MAELEZO) Frank Shija na kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Roselyne Bruno.
Pepsi 2
Meneja Masoko wa Kampuni ya SBC  Roselyne Bruno (kushoto) akionesha ya kizibo chenye zawadi ya soda ya bure kwa waandishi wa habari (hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa shindano la Jishindie Mamilioni mapema hii leo jijini Dar es Salaam, kulia ni Afisa Habari toka Idara ya Habari na katikati ni Meneja Mafunzo na Uwezeshaji wa Kamuni hiyo  Rashid Chenja.
Picha na Eliphace Marwa – Maelezo

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger