About
Services
Products
Blog
Contact Us
NCHI YANGU
Menu
Home
Lifestyle
Sub Menu 1
Sub Menu 2
Sub Menu 3
Sports
Sub Menu 1
Sub Menu 1
Sub Menu 2
Sub Menu 3
Sub Menu 2
Sub Menu 3
Post
Fitness
Music
Travel
Politics
Beauty
TRA
Monday, December 11, 2017
Home
> >
TTB Yamkabidhi Bendera Balozi wa Utalii Nchini Marekani
TTB Yamkabidhi Bendera Balozi wa Utalii Nchini Marekani
at
9:49 AM
Mshindi wa Pili katika Mashindano ya Miss Tanzania U.S.A. mwaka 2017, Neema Olory (wa pili toka kushoto) akikabidhiwa Bendera ya Taifa na Meneja wa Masoko toka Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Geofrey Meena (kushoto) kama ishara ya kuwa balozi wa Utalii nchini Marekani, kulia ni Mwanzilishi wa Kampuni ya Coutious on Tanzania Justa Lujwengana na wa pili kulia ni Afisa Uhusiano Mkuu toka Bodi hiyo Geofrey Tengeneza.
Meneja wa Masoko toka Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Geofrey Meena (kushoto) akimkabidhi Mshindi wa Pili katika Mashindano ya Miss Tanzania U.S.A. mwaka 2017, Neema Olory baadhi ya vitabu vinavyoelezea vivutio mbambali vya utalii vilivyopo Tanzania mara baada ya kumkabidhi Bendera ya Taifa kama ishara ya kuwa balozi wa Utalii nchini Marekani.
Mshindi wa Pili katika Mashindano ya Miss Tanzania U.S.A. mwaka 2017, Neema Olory akionesha baadhi ya vitabu vinavyoelezea vivutio mbambali vya utalii vilivyopo Tanzaniakwa waandishi wa habari (hawapo pichani) mara baada ya kukabidhiwa Bendera ya Taifa kama ishara ya kuwa balozi wa Utalii nchini Marekani mapema hii leo jijini Dar es Salaam. (Picha na Eliphace Marwa – Maelezo)
Author:
Unknown
SHARE
Share
Tweet
Share
Pin
Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Copyright ©2016
NCHI YANGU
• All Rights Reserved.
Template Design by
AT Creatives
• Powered by
Blogger
No comments:
Post a Comment