About
Services
Products
Blog
Contact Us
NCHI YANGU
Menu
Home
Lifestyle
Sub Menu 1
Sub Menu 2
Sub Menu 3
Sports
Sub Menu 1
Sub Menu 1
Sub Menu 2
Sub Menu 3
Sub Menu 2
Sub Menu 3
Post
Fitness
Music
Travel
Politics
Beauty
TRA
Monday, December 11, 2017
Home
> >
Wafanyakazi Wa Benki Ya NMB Wasaidia Watoto Wenye Ulemavu
Wafanyakazi Wa Benki Ya NMB Wasaidia Watoto Wenye Ulemavu
at
9:48 AM
Kiongozi wa kundi la wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Rasilimali watu, Paschal Itangaja (kushoto) akikabidhi sehemu ya msaada wa bidhaa mbalimbali walizozitoa kwa kituo cha watoto wenye mahitaji maalumu cha Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko cha jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa msaada waliokabidhi kwa watoto hao wasioona na kusikia ni pamoja na biadhaa za mashuka, vyakula (mchele unga), mafuta ya kupikia, sabuni vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni mbili.
Wafanyakazi wa Kitengo cha Rasilimali watu wa Benki ya NMB wakitoa msaada katika kituo cha watoto wenye mahitaji maalumu cha Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko cha jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa msaada waliokabidhi kwa watoto hao wasioona na kusikia ni pamoja na biadhaa za mashuka, vyakula (mchele unga), mafuta ya kupikia, sabuni vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni mbili.
Kiongozi wa kundi la wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Rasilimali watu, Paschal Itangaja (kushoto) akikabidhi sehemu ya msaada wa bidhaa mbalimbali walizozitoa kwa kituo cha watoto wenye mahitaji maalumu cha Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko cha jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa msaada waliokabidhi kwa watoto hao wasioona na kusikia ni pamoja na biadhaa za mashuka, vyakula (mchele unga), mafuta ya kupikia, sabuni vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni mbili.
Wafanyakazi wa Kitengo cha Rasilimali watu wa Benki ya NMB wakitoa msaada katika kituo cha watoto wenye mahitaji maalumu cha Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko cha jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa msaada waliokabidhi kwa watoto hao wasioona na kusikia ni pamoja na biadhaa za mashuka, vyakula (mchele unga), mafuta ya kupikia, sabuni vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni mbili.
Wafanyakazi wa Kitengo cha Rasilimali watu wa Benki ya NMB wakitoa msaada katika kituo cha watoto wenye mahitaji maalumu cha Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko cha jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Kitengo cha Rasilimali watu wa Benki ya NMB wakitoa msaada katika kituo cha watoto wenye mahitaji maalumu cha Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko cha jijini Dar es Salaam.
Mwalimu Asha Mfaume wa kituo cha watoto wenye mahitaji maalumu cha Shule ya Msingi Uhuru Mchanganyiko cha jijini Dar es Salaam akiwashukuru Wafanyakazi wa Kitengo cha Rasilimali watu wa Benki ya NMB mara baada ya msaada walioutoa.
Kiongozi wa kundi la wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Rasilimali watu, Paschal Itangaja (kushoto) akizungumza katika hafla hiyo.
Author:
Unknown
SHARE
Share
Tweet
Share
Pin
Share
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Copyright ©2016
NCHI YANGU
• All Rights Reserved.
Template Design by
AT Creatives
• Powered by
Blogger
No comments:
Post a Comment