TRA

TRA

Tuesday, February 27, 2018

WAZIRI MKUU AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOANI MTWARA

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !


 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa na mkewe Mary Majaliwa wakiwasalimia wananchi, wakati wakiwasili katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Mke wa Waziri Mkuu, Mary Majaliwa akizungumza na wananchi wa Newala mjini, katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akipokea zawadi ya bakora, kutoka kwa mzee Mohammed Abeid Liyanga, anaye wawakilisha wazee wa Newala, katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa Newala Mjini, katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa Newala Mjini, katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimkabidhi mashine ya kubangulia korosho, Aziza Juma, katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimkabidhi mashine ya kubangulia korosho, Halima Maulid, katika viwanja vya michezo vya sabasaba vilivyopo Newala mjini, Februari 28, 2018.

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger