Mwalimu
wa Uchumi na Utalii Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa
Wineaster Anderson (kulia), akitoa mada kuhusu uchumi na Utalii
katika mkutano wa mwaka wa Hifadhi za Taifa Tanzania na wanahabari
waandamizi kutoka vyombo mbalimbali mjini Morogoro jana.
Mkurugenzi wa Utalii na Masoko wa Hifadhi ya Taifa (TANAPA), Ibrahim Mussa (kulia), akitoa mada katika mkutano huo.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI), Dk. Felician Kilahama (kulia), akitoa mada kuhusu misitu katika mkutano huo.
Mkurugenzi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa (TANAPA), Dk.Allan Kijazi, akizungumza jana katika mkutano huo.
Wanahabari Khadija Khalili (kushoto) na Beatrice wakiwa kwenye mkutano huo.(P.T)
SHARE








No comments:
Post a Comment