Mkuu
wa wilaya ya Longido mkoa wa Arusha,Godfrey Chongolo akizungumza wakati
wa zira ya Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa(Tamisemi),Mh.Suleiman Jaffo(kulia)anayesikiliza kwa
makini na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa halamshauri ya Longido,Juma
Mhina.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa(Tamisemi),Mh.Suleiman Jaffo(kushoto)akisalimiana na Mwenyekiti wa
Chama cha Walimu mkoa wa Arusha,Lootha Laizer
Baadhi
ya Madiwani na watumishi wa halmashauri ya Longido wakimsikiliza Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa(Tamisemi),Mh.Suleiman Jaffo
Baadhi
ya Madiwani na watumishi wa halmashauri ya Longido wakimsikiliza Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa(Tamisemi),Mh.Suleiman Jaffo
Naibu
Waziri Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa(Tamisemi),Mh.Suleiman Jaffo(kulia)akizungumza jambo alipotembelea
eneo linapojengwa soko la kisasa la mifugo katika Kijiji cha Orendeke
Kata ya Namanga mkoa wa Arusha,kushoto ni Mkuu wa wilaya ya
Longido,Godfrey Chongolo.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa(Tamisemi),Mh.Suleiman Jaffo akizungumza na wananchi wa Kata ya
Makuyuni wilaya ya Monduli mkoa wa Arusha baada ya kukagua ujenzi wa
Kituo cha Afya,serikali imetenga kiasi cha Sh 700 milioni kwaajili ya
upanuzi wa Kituo cha Afya Mto wa Mbu.
Muuguzi
katika Kituo cha Afya cha Usa River,Emiliana Sulle(kushoto) na Mganga
Mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Meru mkoa wa Arusha,Bonifas
Ukio(kulia)Mh.Suleiman Jaffo kumpima uzito mtoto ili kujua maendeleo
yake.
Naibu
Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa(Tamisemi),Mh.Suleiman Jaffo(kulia)akiagana na Mbunge wa jimbo la
Monduli,Julius Kalanga baada ya kumaliza ziara yake mkoani Arusha.
Mwandishi wetu,Arusha
Naibu
Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa(Tamisemi),Mh.Suleiman Jaffo amewataka watumishi katika halmashauri
zote nchini kuacha kufanya kazi kwa mazoea badala yake wawe wabunifu
katika kutatua changamoto zinazowakabili wananchi.
Katika
ziara yake mkoani Arusha katika halmashauri za Meru,Longido na Monduli
alisema serikali imeshatoa fedha za Mfuko wa Pamoja wa Afya(Basket
Fund)katika halmashauri hizo hivyo kukosekana kwa madawa na vifaa tiba
sio jambo linaloweza kuvumilika.
Alisema
miradi yote ambayo fedha zimeshaletwa na serikali kuu kwenye
halmashauri itekelezwe mara moja ili iweze kuwahudumia wananchi.
SHARE
No comments:
Post a Comment