TRA

TRA

Wednesday, April 20, 2016

RAIS DK. SHEIN AWAAPISHA MAKATIBU WAKUU NA NAIBU KATIBU WAKUU WA (SMZ)

Share On Facebook ! Tweet This ! Share On Google Plus ! Pin It ! Share On Tumblr ! Share On Reddit ! Share On Linkedin ! Share On StumbleUpon !



KAT1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dkt.Abduhamid Yahya Mzee kuwa Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar jana jioni,[Picha na Ikulu.]
KAT2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Nd,Salum Maulid Salum kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar jana jioni,[Picha na Ikulu.]
KAT3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Nd, Joseph Abdalla Meza kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais  katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar jana jioni,[Picha na Ikulu.]
KAT4
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Dkt.Juma Malik Akili kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya  katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibarjana jioni,[Picha na Ikulu.]
KAT5
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Nd,Mustafa Aboud Jumbe kuwa  Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi,Mawasiliano na Usafirishaji katika hafla iliyofanyika Ikulu Mjini Zanzibar jana jioni,[Picha na Ikulu.] (P.T)

Author:

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

No comments:

Post a Comment

 
Copyright ©2016 NCHI YANGU • All Rights Reserved.
Template Design by AT Creatives • Powered by Blogger